Tuesday, May 21, 2013

JE WATAKA KUSOMA UINGEREZA-COVENTRY UNIVERSITY WALETA MWAKILISHI TANZANIA.


Kwa wale ndugu jamaa na marafiki ambao mngependa kusoma chuo Uingereza (UK) hasa Coventry University mnaweza soma maelezo hayo hapo chini.Nimeona si vibaya na nyie mkapata fursa ya kuonana na mwakilishi toka  Coventry kwa maelezo zaidi.Hii barua pepe nilitumiwa mimi (Rik) kwani ni mhitimu wao na mimi sio mchoyo nawapa kama ilivyo, endele kupata maelezo chini
                      LIBRARY

Habari,

I will be in Dar es Salaam, Tanzania on 19th – 25th May 2013 in my official capacity as Coventry University, East & Southern Africa Operations Manager, to meet students who have applied to study at Coventry and anyone who may be interested in applying to the University, enquiring about the courses available, entry requirements, visa process and any other official enquiry

For FREE registration or consultation, you are welcome to come meet me at my hotel on appointment from 19th – 25th May 2013:

Hotel
Harbourview Suites,
Harbourview Towers,
Samora Avenue,
Dar es Salaam - Tanzania.

For appointment
Call: +254 716 062 100

You can also meet me at the Tanzania Commission for Universities, 8th Exhibition on Higher Education, Science and Technology.
LOCATION: - Dar es Salaam, Tanzania
VENUE: - Diamond Jubilee Hall
DATE: - 22nd - 24th May
TIME: - 12pm - 6pm (Daily)

Please feel free to invite any friend or family that may be interested in applying to Coventry University

I look forward to seeing you soon.

Best wishes

Silpa


SILPA A. NYAGUDI,
East & Southern Africa Office, Operations Manager
Coventry University

MOBILE 1: +254 716 062 100
MOBILE 2: +254 723 161 908
SKYPE: silpa.kenya.coventry

“Ranked No.46 UK University*”

“Entrepreneurial University of the Year - Times Higher Education Awards 2011”


                                                         ADMINISTRATION BLOCK


Chuo cha Coventry nao wakanitumia hii hapa chini;

Meet Coventry University Staff

Dear Rikard
Silpa Nyagudi, Coventry University East and Southern Africa Operations Manager, will be in Tanzania to support students considering Coventry University as their future study destination. 
Event: Meet Coventry University Staff
Date: 19th - 25th May 2013
Venue: Harbourview Suites, Harbourview Towers, Samora Avenue, Dar es Salaam (hotel).
Event: Tanzania Commission for Universities, 8th Exhibition for Higher Education, Science & Technology
Venue: Diamond Jubilee Hall, Dar es Salaam, Tanzania
Date: 22nd - 24th May
Time: 12pm - 6pm
If you would like to meet with Silpa to discuss study opportunities available at Coventry Univeristy, Please make an appointment using the contact details below:
Call: +254 716062100 or +254 723161908
Email: aa7167@coventry.ac.uk



Monday, March 25, 2013

4x4 CAR FOR SALE!!!!

Make:Suzuki

Model: Grand Vitara

Colour: Metallic Blue

Year of Manufacture: 2002

Transmission: Automatic

Cylinder Capacity: 1995cc
Engine type : J20

Fuel: Petrol (2.0L)

Body Type: Estate 4x4

Top Speed:  200km/h 

AC,RADIO,CD RADIO,MANUAL.







5Doors, Suzuki Grand Vitara 16V, 1995cc, Automatic, Metallic Blue, 2002, ABS, Passenger & Drive Air Bag, Remote Central Locking, Power Steering, Air Conditioning (AC), Electric Windows, CD Player, Rear Wash/wiper, Roof Rails, Tow bar, Adjustable Steering Column, Metallic Paintwork, Cloth Upholstery, Body coloured bumpers. Folding rear seats, Immobiliser, Height adjustable driver's seat, Front & Rear head restraints.
·         2002 ( Reg.T.37...CAK)
·         4x4
·         Automatic
·         2.0L
·         2 Keys, 2 Sensor sticks.
     


Maulizo yote yafanyike katika namba 0754 22 25 23


Saturday, November 17, 2012

MHE.JACKSON MAKWETA AFARIKI DUNIA,SERIKALI YATANGAZA

17 Novemba, 2012  
 
                                                          
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 
MHE. MAKWETTA AFARIKI DUNIA
 
SERIKALI inasikitika kutangaza kifo cha Bw. Jackson Makwetta kilichotokea leo saa 11 jioni katika Hospitali ya
Taifa Muhimbili ya jijini Dar es Salaam ambako alikuwa amelazwa.
 
Msiba uko nyumbani kwake Boko kwa
Wagogo. Taarifa zaidi kuhusu mipango ya mazishi zitatolewa baadaye. 
 
Bw. Makweta aliwahi kuwa Waziri
katika wizara mbalimbali zikiwemo Ofisi ya Waziri Mkuu kama Waziri wa Nchi, Elimu,
Kilimo na Utumishi.
 
Pia amekuwa Mbunge kwa zaidi ya
miaka 35.
 
 
 (mwisho)
 
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
DODOMA.
JUMAMOSI, NOVEMBA 17, 2012.

Thursday, November 15, 2012

CHANGAMOTO KUBWA KWA SUMATRA

Ni wazi kwamba suala la usafiri hususani ule usafiri wetu wa umma bado ni kero kubwa katika nchi yetu. Hali hii inatokana na ubovu wa miundombinu, ama mamlaka husika kutowajika ipasavyo au yote kwa pamoja
.
Hapa najaribu kuangazia Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa majini na nchi kavu (SUMATRA) ambao ndio wenye dhamana hiyo. Kuna hii kasumba ya daladala nyingi kukatisha au kubadili ruti na kupandisha nauli nyakati za jioni hususani katika jiji la Dar es Salaam,,mfano wale wanaokaa kimara,mbezi Louis washaitwa sana kama 'mawe' (mawe/jiwe ni abiria ambaye anapanda basi mwanzo wa basi mpaka mwisho wa basi bila kushuka na ukitoka k/koo utaambiwa gari inaishia manzese au lipa 1000 kimara hali ambayo kwa sasa imeshazoeleka na kuwa kama kitu cha kawaida. Ukiachilia mbali daladala,kuna mabasi yaendayo mikoani kujipandishia nauli kiholela hasa kuanzia mwezi novemba, desemba hadi januari

.
Kwa kawaida kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka na mwaka mpya, watu wengi husafiri kwenda maeneo mbalimbali ya nchi kwa ajili ya kujumuika na ndugu na jamaa zao, hapo ndipo wasafirishaji huona wamepata fursa ya kujineemesha maradufu isivyo halali. Sasa hivi tayari zimeshaanza kuonekana dalili za nauli kupanda kwa zaidi ya asilimia 15 ya nauli ya kawaida. Mathalani nauli kutoka Dar es Salaam kwenda Mbeya baadhi ya mabasi inasemekana imeshafikia tshs 32,000 hadi 35,000 badala ya tshs 28,000-30,000 nauli ya kawaida

.
Nashindwa kuelewa hawa SUMATRA wanafanyaje katika kuwadhibiti hao wenye mabasi wanaojipa mamlaka ya kujipandishia nauli kwa sababu tu ya tamaa zao na kuwaathiri watumiaji wa usafiri huo. Nakumbuka kuna wakati fulani maafisa toka SUMATRA walikuwa wakifanya ukaguzi wa kushitukiza katika vituo vikuu vya mabasi hasa pale Ubungo. Walikuwa wanaingia kwenye mabasi hayo na kuzikagua tiketi za abiria ambapo wakibaini kuwa nauli iliyotozwa si halali, wenye mabasi walikuwa wakichukuliwa hatua stahili ikiwa ni pamoja na kuamuriwa wawarudishie abiria pesa zao zilizozidi katika nauli ya kawaida.
Lakini shida iliyopo ni kwamba operesheni za namna hii inaonekana ni kama 'nguvu ya soda' ndio maana tatizo huwa linajirudia na kujirudia.


SUMATRA kwa kushirikiana na mamlaka zingine husika wanapaswa kulivalia njuga suala hili, maana kwa jinsi inavyoonekana hii KAZI YAO SI RAHISI kama vile wanavyoichukulia. Ingefaa ule utaratibu wa kufanya ukaguzi wa tiketi liwe ni zoezi la kudumu badala ya kufanya kwa kushitukiza kisha kukaa kimya tena, hali inayowapa mwanya wenye mabasi kujiamulia watakavyo wao na hivyo kuzidi kuwaumiza wasafiri ambao hawana hatia yoyote.Pia abiria waache mtindo wa kununua tiketi vichochoroni badala ya kununua katika ofisi ya basi husika.Ijulikane wazi kua SUMATRA pekee yao bila ushirikiano na wenye mabasi pamoja na abiria haitaweza  baini matatizo/changamoto ambazo zinakua  sugu siku hadi siku

Monday, October 15, 2012

ILANI INAPOKUA HAINA MAANA!!!!

Hivi maana ya matangazo kama haya ni nini? Je kuna maana yoyote kua na matangazo/ilani kama hizi ambazo hakuna mtu anaona ni muhimu ziheshimiwe?.Binafsi naona hakuna haja ya kua na ilani ambazo hakuna anayetii.Hii ni dalili au ushahidi tosha kua hii nchi ni ya wavunja sheria, hakuna anayejali.


Sunday, October 7, 2012

TANGAZA BIASHARA YAKO KIMATAIFA BURE!!!


Ukitaka tangaza biashara yako bure mcheki mdau kama anavo eleza hapa chini
Website http://www.absolutelyawesomethings.com/   inayomilikiwa na kuandikwa na Mtanzania hapa Newyork inatoa offer kwa Mtanzania mahali popote alipo duniani kutangaza biashara/sanaa yake katika website hiyo. Matangazo yatawekwa kwenye website kwa muda wa mwezi mzima, kuanzia  leo tarehe 5/10/2012 mpaka 5/11/2012. Kama wewe ni Mtanzania  na

1. unaduka lililosajiliwa online na unapenda kuitangaza biashara yako au

2. una sanaa ambayo unaifanya mwenye ungependa

 kuitangaza kimataifa.
 wasiliana nami kwa email sophie@absolutelyawesomethings.com.
Hii ni  kutoa shukrani na vilevile kuwapromote wazawa kimataifa kwa juhudi zao wanazozifanya.

Sunday, August 5, 2012

Baby j feat Alikiba Bwashee G Records