
Tuesday, January 25, 2011
Heshima ya mtu mweusi kwa mzungu kwishney..
Hapa chini ni picha nimetumiwa na rafiki yangu nimecheka sina mbavu jinsi weusi tunavyo dharauliwa.I hope this is a joke na sio kweli lol.Kama ni kweli inabidi kuaandamana maana hata wazungu wezi sana tu.Kuna jirani yangu wamemuibia baiskeli japo kua mfano tofauti lakini ni wizi uleule.


Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment