Waasi nchini Libya wameua watu wanne wakidhani ni familia ya Gaddafi kutokana majina yao ya ukoo kua GADDAFI.Familia hio ambayo ilikua mbioni kuhamia Uingereza kwa usalama zaidi ilikumbana na dhahma hilo saa chache baada ya safari yao kuanza huko Libya.Msemaji wa familia hio akiongea kwa masikitiko makubwa amesema familia hio haina uhusiano wowote na Muammar Gaddafi.Lakini kwakua walijua majina yao yangeweza waponza na kuamua kuondoka bila kufanikiwa mpaka mauti yalipowafika.
Zaidi soma HAPA
Thursday, September 22, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment